Pitson - Utanifikia Lyrics

Utanifikia Lyrics

Eh eh, eeeh eeh eh 
Eh eh, eeeh eeh eh 
Eh eh, eeeh eeh eh 
Eh eh, eeeh eeh eh 

Eh eh, eeeh eeh eh 
Eh eh, eeeh eeh eh 
Eh eh, eeeh eeh eh 
Eh eh, eeeh eeh eh 

Naje ningezaliwa kwa nchi isiyokujua
Nikikutaja tu wananiua
Kubeba kitabu chako baba ikuwe hatia
Ungenifikia, ungenifikia 

Na vile nimeonja uzuri wako sasa najua
Na vile nimeonja upendo wako sasa najua
Ungenifikia, we ni baba ungenifikia 
Ungenifikia, we ni baba 

Niteleze, nianguke
Nikosee eh na nichafuke
Utanifikia, utanifikia
Utanifikia, utanifikia

Niteleze, nianguke
Nikosee eh na nichafuke
Utanifikia, utanifikia
Utanifikia, utanifikia

Na je ningependana na mpenzi asiyekujua
Nikose wakati wako Baba ameshachukua
Kubeba kitabu chako Baba ikuwe ushamba
Ungenifikia, ungenifikia 

Na vile nimeonja uzuri wako sasa najua
Na vile nimeonja upendo wako sasa najua
Ungenifikia, we ni baba ungenifikia 
Ungenifikia, we ni baba 

Niteleze, nianguke
Nikosee eh na nichafuke
Utanifikia, utanifikia
Utanifikia, utanifikia

Niteleze, nianguke
Nikosee eh na nichafuke
Utanifikia, utanifikia
Utanifikia, utanifikia

Niteleze, nianguke
Nikosee eh na nichafuke
Utanifikia, utanifikia
Utanifikia, utanifikia

Niteleze, nianguke
Nikosee eh na nichafuke
Utanifikia, utanifikia
Utanifikia, utanifikia


Utanifikia Video

Pitson Songs

Related Songs